SITAISAHAU facebook-------- 14

MTUNZI: Emmy John P.

MAWASILIANO: 0654 960040


SEHEMU YA KUMI NA NNE

...

ILIPOISHIA

Usiku ukafika nikampigia simu.

“Dada, yaliyonikuta ni makubwa mdogo wako…” nilianza kumuelezea mkasa ulivyokuwa huku nikisita kumshirikisha ukweli kuwa kuna ndoto ikiambatana na hisia ilinishika na nikahisi nafanya mapenzi ndotoni. Nilihofia ataleta ushauri wa kwenda kwa wachungaji feki kuombewa. Sikutaka kabisa kusikia mambo hayo.

Nilipomaliza ukawa wakati wake kunishauri ama kusema lolote.

Kwa sauti tulivu tena iliyojaa unyenyekevu Suzi alianza kunieleza neno kwa neno.

Sasa nikaanza kutetemeka alipoyatamka haya. Nikaketi chini, mapigo ya moyo yakaongezeka. Nikatamani nife kwa muda. Kisha nikakumbuka kuwa nilikuwa naogopa kufa!!! Nikalipuuzia wazo hilo.

Wasiwasi ukazidi. Lakini Suzi alikuwa akiusema ukweli aliouficha moyoni kwa muda mrefu.

**SUZI anamweleza nini Isabela…hadi anapatwa hofu kiasi hicho?

**HIYO MIMBA imeingia vipi? JOHN yupo wapi?



SASA ENDELEA KUSOMA HADITHI HII

Related

HADITHI 1210747696039588005

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item