Page

Thursday, January 10, 2013

SITAISAHAU facebook------- 17


MTUNZI: Emmy John P.

MAWASILIANO: 0654 960040

SEHEMU YA KUMI NA SABA

...

Haya yote niliyataka mwenyewe!! Sasa nikaanza kuhisi kuwa Davis hakuwa mtu mzuri kwangu!!

Davis ni MCHAWI!!!

Naenda kufanya mapenzi na mchawi!!

Ghafla nikaijiwa na kumbukumbuku za chapa ya shetani 666, niulipokumbuka hili nikakumbuka na mshahara wangu ulikuwa una hizi namba, hata simu ya Osmani nayo ina 666, Davis aliwahi kunitumia nauli nayo ilikuwa na 666 na sasa nipo katika chumba namba 66 namsubiri huyu mfalme wa 666

Hapana! Hapana! Niliipinga nafsi yangu. Na sasa nilikuwa nimeamua kumkimbia mchawi huyu. Kuikimbia chapa ya shetani!!!

Nikiwa najiandaa kukimbia

.Mlango ukafunguliwa!!!

NANI AMEUFUNGUA MLANGO!!!

JE ISABELA ATAIKIMBIA CHAPA HII 666.

Kama akiikimbia je ndo anaruhusu MAMA YAKE afe!! NANI KAMA MAMA???

SASA ENDELEA KUSOMA HADITHI HII

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA