Wiki hii Raisi wa zamani na mkombozi wa Afrika Kusini Nelson Mandela alifariki Dunia na kuacha simanzi kubwa kwa wafrika. Mungu ailaze Roho yake Pema peponi. Anen
Leo tunakuwekea picha yake pamoja na maneno yake aliyowahi kusema juu ya kifo kwa mtu aliyeipigania nchi yake.
No comments:
Post a Comment
TOA MAONI YAKO HAPA