BREAKING NEWZZ:: MBUNGE WA CHALINZE (CCM) AFARIKI DUNIA
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba; Mbunge wa Chalinze (CCM) Mh. Said Bwanamdogo amefariki Dunia leo asubuhi katika Taasisi ya Mifupa MOI, alikokuwa
amelazwa baada ya kuugua kwa muda mrefu.
No comments:
Post a Comment
TOA MAONI YAKO HAPA