BREAKING NEWS: Ajali ya Jahazi la 'SUNRISE'.



Jahazi la SUNRISE ambalo ilikuwa likitokea Mkoani Tanga kuelekea visiwani Zanzibar likiwa na abiria 32 limezama eneo la Nungwi.

Jitihada za kuwaokoa abiria hao zinaendelea kufanywa na maafisa wa uokoaji na hadi sasa wameokolewa watu 20 na wengine 12 hawajulikani walipo.


SOURCE: ITV

Related

MATUKIO 5772673230039291760

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item