RAIS JAKAYA KIKWETE AUNG'URUMA KWENYE MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA UMOJA WA AFRIKA WANACHAMA WA MPANGO WA AFRIKA KUJITATHMINI KIUTAWALA BORA (APRM) ADDIS ABABA



Rais  Jakaya Mrisho  Kikwete akihutubua  mkutano wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika Wanachama wa Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) baada ya kuwasilisha ripoti ya Tanzania usiku wa kuamkia leo Januari 27, 2013 katika makao makuu ya nchi za Afrika jijini Addis Ababa.
Mhe. Jacob Zuma, Rais wa Afrika Kusini na Mhe. Paul Kagame, Rais wa Rwanda nao walihudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa AU ambapo Tanzania iliwasilisha ripoti yake kuhusu Demokrasia na Utawala Bora.
Mhe. Rais Kikwete (kushoto) akibadilishana mawazo na Mhe. Salum Barwany, Mbunge wa Jimbo la Lindi Mjini nje ya ukumbi wa mkutano nchini Ethiopia.
Jakaya Mrisho  Kikwete  na ujumbwe wake akitoka nje ya ukumbi baada ya kuhutubua  mkutano wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika Wanachama wa Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) baada ya kuwasilisha ripoti ya Tanzania usiku wa kuamkia leo Januari 27, 2013 katika makao makuu ya nchi za Afrika jijini Addis Ababa.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete (wa nane toka kulia, akiwa na viongozi wenzake katika picha ya pamoja mara baada ya ufunguzi wa mkutano wa 18 wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika jijini Addis Ababa leo Januari 27, 2013
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Kikwete katika picha ya pamoja na ujumbe aliofuatana nao nchini Ethiopia ambao unajumuisha Mawaziri, Wabunge na Timu ya APRM, Tanzania.Picha na IKULU

Related

BBC:Ajali ya treni yawajeruhi 100 Afrika KUSINI

Afrika Kusini Magari ya moshi mawili yamegongana nchini Afrika Kusini karibu na mji mkuu wa Pretoria. Takriban watu 100 walijeruh...

HATARIIII ::WATU ZAIDI YA 232 WAFARIKI DUNIA KWENYE CLUB YA USIKU NCHINI BRAZIL TAZAMA PICHA NA SOMA HABARI YOTE HAPA

At least 232 people have been killed in a Brazil nightclub after a fire ravaged through the building in the early hours of this morning. Initial reports were that 90 people perished in the ...

Mubarak ashinda kesi ya rufaa

Rais wa zamani wa Misri, Hosni Mubarak, ameruhusiwa kufanyiwa kesi nyengine kwa makosa ya kutozuwia mauaji ya waandamanaji mamia kadha wakati wa ghasia zilizomuondoa madarakani. Mahakama ya r...

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in weekRecentBLOG ZINGINE

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item