BREAKING NEWZ::::AJALI MBAYA YA BASI LA SUMMRY HII LEO HUKO MBEYA

https://menacotz.blogspot.com/2013/03/breaking-newzajali-mbaya-ya-basi-la.html
USHAHIDI WA PICHA,
MOJA YA MAJERUHI BENO GILBET MKAZI WA ZANZIBAR ALIKUWA ANATOKEA SUMBAWAGA KWENDA ZANZIBAR SASA AMELAZWA KATIKA HOSPITALI YA TEULE YA IFISI |
MAJERUHI MUSA KAPINUKE |
MAJERUHI CHALES KAUZENI 15 |
MUUGUZI ELMAT KAKAKU AMESEMA WAMEPOKEA MAJERUHI 47 KATI YA HAO WAWILI WAMEPELEWA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA MBEYA BAADA YA HALI ZAO KUWA MBAYA ZAIDI |
HABARI KAMILI YA AJALI HII TUTAWAFAHAMISHA BADO TUNAFUATILIA PICHA NA MBEYA YETU |
1 comment
hakika inatupasa kuombea walio safarin!
Post a Comment