POLITICAL NEWS: HII IMETOKA JAMII FORUM KAMA ILIVYO### Kauli tatu...

 WAKUU WANA-JF

Kwa kipindi kisicho zidi muda wa miezi mitatu(3) kumekuwa na lugha ama sentesi kadhaa kutoka kwa Mh. Freeman Mbowe ambaye ni mwenyekiti wa CHADEMA taifa ambazo wachambuzi wa kisiasa kama sisi ni lazima tuzijadili kwa kina kwa sababu hatujawahi kuzisikia kutoka kinywani kwa Kiongozi huyu siku za nyuma pia ni haba sana kuzisikia hasa kwa CHAMA MAKINI KAMA CHADEMA katika taifa hili.

Mbowe akiwa kama nguzo imara ya upinzani na amekuwa na machngo mkubwa sana katika harakati za ukombozi ndani ya taifa hili,Lakini lugha zake za hivi karibuni zina ukakasi mkubwa sana pia ni tata kwa wananchi ambao wanaamini kabisa CHADEMA kinaweza kuwa chama mtambuka cha ukombozi ndani ya taifa hili.

KAULI TATA AMBAZO ZINAZUA MASWALI MENGI KUTOKA KWA MH:FREEMAN AIKAEL MBOWE NI HIZI
1. Kupitia gazeti la majira la wiki tatzu zilizopita Mh.Freeman mbowe alinukuliwa akisema Yupo tayari kuachana na chadema wakati wowote atakapo amua.

Related

SIASA 3939770402336997794

Post a Comment

1 comment

Anonymous said...

[url=http://fastcashloandirectly.com/#ibeut]payday loans[/url] - payday loans , http://fastcashloandirectly.com/#xanee payday loans

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item