MAN U VS ENGLAND REVOLUTION 4-0

ni mechi ya kwanza ya majaribio ya man u
nakuletea picha za matukio ya mechi hususani wachezaji wa man u

rooooooooooney akiwa anakipiga ndani ya uzi mpya wa MAN U


Kikosi kilichoanza cha  MAN U na YOUNG akiwemo


ashley young akikipiga na MAN U jana katika mechi yake ya jana


moja ya goli ambayo yalifungwa jana na man u lilikuwa hili la michael owen


moja ya hekaheka ambazo macheda alizifanya jana baada ya kurudi OT


macheda akishangilia goli lake la kwanza jana


hili ni goal ambalo man u walifungwa jana


mashabiki wa man u wakishangilia kwa kuonesha picha ya rio ferdinand


mashabiki wa man u wakishangilia jana


hivi ndivyo macheda alivyofunga goli lake la pili


hili ni goal la nne ambalo lilifungwa na ji-sung park

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in weekRecentBLOG ZINGINE

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item