JOHN MNYIKA AWAKILISHA MUSWAADA BINAFSI

https://menacotz.blogspot.com/2013/01/john-mnyika-awakilisha-muswaada-binafsi.html
MNYIKA amesema kuwa amefikia hatua hiyo kutokana na Serikali kushindwa kutekeleza ahadi yake ya kuunda Baraza hilo kwa Kipindi cha zaidi ya Miaka kumi hali inayosababisha Vijana nchini kushindwa kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili.
Ameongeza kuwa Mswaada huo umegawanyika katika sehemu nane ikiwemo ile ya kupendekeza kuanzishwa kwa Majukwaa ya Vijana katika ngazi ya Halmashauri, na Kamati za Vijana za Kata, Vijiji na Mitaa kwa madhumuni ya kuzishusha Chini shughuli za Vijana.
Post a Comment