WEMA SEPETU AAMUA KUTOKA KIMAPENZI NA "SERENGETI BOY" ILI KUMUUMIZA DIAMOND PLUTNUM

Huyu ni Haidary Cavilla ambaye ni mchumba wa miss Tanzania namba 2 ,mwaka 2000, aitwaye Mercy Galabawa....
Kama kawaida, jamaa ni mdogo kiumri akilinganishwa na Wema, lakini inasemekana kwama Haidary anamiliki mkwanja mrefu ulioichanganya akili ya Wema Sepetu hasa baada ya kununuliwa gari aina ya Audi Q7.....
1.HERRY SAMIR
2.KHALEED MOHAMED
3. Marehemu STEVEN KANUMBA
4.JUMBE YUSUPH JUMBE
5.CHARLES GABRIEL
6.DIAMOND PLUTNUM
7. CLEMENT ( Bado wako pamoja)
8. HAIDARY CAVILLA
Na wengineo......
Post a Comment