SIKU YA KWANZA YA PAPA FRANCIS 1

Kazi yaendelea Vatican
Siku yake ya kwanza ofisini kama Papa mtakatifu wa kanisa Katoliki, Papa Francis 1 tayari anaanza kazi. Papa anatarajiwa kuwateua wafanyikazi wakuu watakaohudumu katika Vatican chini ya uongozi wake. Ameanza siku yake kwa maombi ya kibinafsi katika hekalu ya mtakatifu Maria Maggiore mjini Rome.
Baadaye Papa atafanya misa ya sherehe katika kanisa la Sistine.
Mwandishi wa BBC anasema kuwa uteuzi atakaofanya Papa Francis, utatizamiwa kama ishara ya mageuzi katika uongozi uliozongwa na kashfa nyingi na pia utaonyesha mwelekeo anaonuia kuchukua kwa kanisa hilo.
Baadaye wikendi ijayo, Papa mpya anatarajiwa kukutana na vyombo vya habari vya dunia katika mkutano maalum.
Na Jumapili, ataongoza misa yake ya kwanza kama papa. Hata hivyo yeye mwenyewe atatawazwa rasmi kuwa Papa Francis 1, siku ya
Papa Francis 1

CHANZO: BBC SWAHILI

Related

VATICAN CITY 4016003253127061687

Post a Comment

2 comments

Anonymous said...

Wow, that's what I was seeking for, what a information! existing here at this web site, thanks admin of this website.

Here is my webpage - hawaiian vacations

Anonymous said...

hi!,I love your writing very much! percentage we keep in touch
extra about your post on AOL? I require an expert on this house to unravel my problem.
Maybe that is you! Having a look ahead to look you.

Take a look at my website :: denver Seo expert

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item