AJALI MBAYA::: DARAJA LA MTO WAMI,


.
.
Ripoti ya mtangazaji wa Radio One na ITV Reuben Mchome kupitia mchomeblog.com imeRIPOTI kwamba ajali hii ilitokea Mto Wami baada ya tela la lori hili la mafuta kukatika na kuponea kwa asilimia ndogo sana kuzama kwenye mto huo ambao kwenye ripoti kadhaa umeripotiwa kuwa na Mamba.
Mpaka lori hilo linaondolewa kwenye eneo la ajali, maelfu ya abiria walikwama kwa muda wa zaidi ya saa sita ambapo kwa pande zote mbili watu walilazimika kusubiri na foleni ilikua kubwa sana pia.
Mwaka jana kulikua na taarifa ya lori la mkaa kugonga kuta za mto huo na kuzama huku likiwa na kondakta wake pamoja na dereva waliodaiwa kufariki.
.
.
.
.
.
.

Related

MATUKIO 3118647086404819417

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item