HIZI NI TETESI: WALIMU MISHAHARA JUU BAJETI YA 2013/14


Nimetumiwa msg ktk simu yangu inasema, "Tetesi kutoka kikao kati ya bodi ya mishahara ya serikali na wakurugenzi wa halmashauri zote nchini; madaraja ya walimu yamerekebishwa, graduate ataanza na TGTS E kama laki 850,000/= na wataAdjust viseversa kama ulikua C utahamia D automatically na wa D watahamia E pia daraja H linasogezwa hadi J kama kada nyingine za utumishi. Ongereni sana". Mwenye kujua ukweli pls tujuze.

Related

TETESI 6040231314966921365

Post a Comment

2 comments

hance swai said...

Mhuuuu iyo pesa haitokaaa itolewe na tanzania hiii uijuayo ww mambo haya yanawezekkana upande wa ulinzi tuu

Anonymous said...

Aliyekutumia msg kwa nn asikupe uhakika acha kubahatisha ww

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item