MOYES AANZA VIZURI KIBARUA CHAKE NA MAN UNITED, AIPIGA SWANSEA 4-1,

Kocha mpya wa Manchester United ameanza vuzuri kibarua chake baada ya timu kuichapa bila huruma Swansea City kwa jumla ya magoli 4-1.

Manchester United iliyokuwa ugenini ilifungulia ligi ya Epl kwa magoli mazuri ya ROBIN VAN PERSIE & DANY WELBECK ambao kila mmoja alifunga magoli mawili.

Rooney aliyeingia dakika 28 kabla ya mechi kwisha alitoa pasi mbili za magoli kwa RVP & WELBECK. Hata hivyo Rooney hakuwa na furaha, pengine ni juu ya suala la usajiri.

Huu ni mwanzo mzuri kwa Moyes kwa kushinda ugenini.

Related

Sports 3237552261326906425

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item