MOYES AANZA VIZURI KIBARUA CHAKE NA MAN UNITED, AIPIGA SWANSEA 4-1,

Kocha mpya wa Manchester United ameanza vuzuri kibarua chake baada ya timu kuichapa bila huruma Swansea City kwa jumla ya magoli 4-1.

Manchester United iliyokuwa ugenini ilifungulia ligi ya Epl kwa magoli mazuri ya ROBIN VAN PERSIE & DANY WELBECK ambao kila mmoja alifunga magoli mawili.

Rooney aliyeingia dakika 28 kabla ya mechi kwisha alitoa pasi mbili za magoli kwa RVP & WELBECK. Hata hivyo Rooney hakuwa na furaha, pengine ni juu ya suala la usajiri.

Huu ni mwanzo mzuri kwa Moyes kwa kushinda ugenini.

Related

Sports 3237552261326906425

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in weekRecentBLOG ZINGINE

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item