MOYES AANZA VIZURI KIBARUA CHAKE NA MAN UNITED, AIPIGA SWANSEA 4-1,

Kocha mpya wa Manchester United ameanza vuzuri kibarua chake baada ya timu kuichapa bila huruma Swansea City kwa jumla ya magoli 4-1.

Manchester United iliyokuwa ugenini ilifungulia ligi ya Epl kwa magoli mazuri ya ROBIN VAN PERSIE & DANY WELBECK ambao kila mmoja alifunga magoli mawili.

Rooney aliyeingia dakika 28 kabla ya mechi kwisha alitoa pasi mbili za magoli kwa RVP & WELBECK. Hata hivyo Rooney hakuwa na furaha, pengine ni juu ya suala la usajiri.

Huu ni mwanzo mzuri kwa Moyes kwa kushinda ugenini.

Related

KOMBE LA FA CHELSEA NA MAN UNITED KURUDIANA APRIL 1

Baada ya kupambana katika uwanja wa OLD TRAFORD kati ya CHELSEA na MAN UNITED na kutoka sare ya goli 2-2 basi FA wamepanga mechi ya mafahali hawa wawili kurudiana mnamo tarehe 1, April mwaka ili kump...

HIVI NDIVYO MAN UNITED ILIVYOTILEWA NA REAL MADRID KWENYE UEFA

Siamini....! Luis Nani wa Man U akisikitika kwa kushika kichwa baada ya kutolewa na refa kwa kadi nyekundu ya utata kufuatia kumpiga teke kwa bahati mbaya beki Arvalo Arbeloa ...

MAN UNITED YAUA 4-0 EPL,

>> YASONGA MBELE POINT 15 >> KAGAWA APIGA HAT TRICK YA KWANZA OT MATOKEO MENGINE KAMA YANAVYOONEKANA HAPA CHINI SOMA HABARI KAMILI >>>>>>>>>>>>>>>

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in weekRecentBLOG ZINGINE

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item