MANCHESTER YATWAA TAJI LA KWANZA WAKIWA NA MOYES

Bernard kamilius Membe, leo tarehe 16,07,2020 amewahutubia wanachama wa ACT WAZALENDO, amelitangazia taifa kuwa yeye ni Rasmi ni mwanachama wa ACT WAZALENDO. akiwahutubia wanachama wa ACT na kuwap...
KLABU ya Manchester United imezipiku Bayern Munich na Real Madrid na kurejea kileleni katika orodha ya klabu zenye thamani kubwa kwenye ulimwengu wa soka, kwa kufikisha utajiri wa dola za Kimarekani ...
Kocha mpya wa Manchester United, David Moyes amesherehekea taji lake la kwanza akiwa na Timu yake mpya, Moyes ametwaa ngao ya hisani baada ya kuifunga Wigan kwa jumla ya goli 2-0 magoli yaliyowekwa kimiani na Robin Van Persie.
Moyes ametwaa ngao hiyo ndani ya siku 40 tangu kuanza kuinoa United.
Post a Comment