UCHAGUZI WA NDANI YA CHADEMA KUNA NINI? : NAULIZA TU

Nauliza tu jamani!

1. Hivi uchaguzi wa Ndani wa Chama kinachojieleza mbele ya umma kuwa kinajali Demokrasia na Maendeleo umeshafanyika? Kama ndio nani aliibuka Mshindi kwenye Kinyang'anyiro cha Uenyekiti ngazi ya Taifa? Je BAVICHA nani kamtoa Heche hiyo nafasi? na Kama Bado Denokrasia iko wapi au katiba ina ruhusu kukaa madarakani kwa muda gani? Je demokrasia ya ukweli ni ipi kuongoza kibabe au kwa ridhaa ya wanachama? Kama wanaamini katika Demokrasia, Je kwanini bado wapo madarakani, Au wanaogopa kuziachia hizo nafasi na watu waliowaweka kwenye nafasi za uongozi kuwa zitachukuliwa na watu wengine? Wamekuwa wakikosoa sana Uchaguzi wa ndani wa CCM kuwa umejaa RUSHWA, na Upendeleo kwa watoto wa vigogo, Sasa Nilitegemea mwaka huu Chama kinachohubiri Demokrasia kwa kufanya uchaguzi wa ndani usio na Rushwa na Upendeleo, sasa NAULIZA JE UCHAGUZI WA NDANI KUNA NINI?

Related

UCHAGUZI 972229073455179686

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item