RATIBA YA MAZISHI YA MSIBA WA NDG JUMA SAID KILOWOKO ( SAJUKI) TAREHE 04/01/2013.

No
MUDA
TUKIO
MHUSIKA
1
1:00-……..
Waombolezaji kuwasili nyumbani kwa marehemu
Kamati yya mapokezi na Itifaki
2
2:00-2:45
Kisomo cha wanaume
Wanafamilia
3
2:45-3:30
Mwili wa marehemu kuwasili nyumbani
Kamati ya mazishi na familia.
4
3:30- 5:00
Salamu za pole kutoka kwa viongozi, ndg na jamaa
Kamati ya Itifaki
5
5:00- 6:00
Sadaka ya chakula
Wote
6
6:00-6:15
Nasaha toka kwa viongozi wa dini
Mashekhe
7
6:15
Mwili kuondoka nyumbani kuelekea msikitini
Kamati ya itifaki, usafiri na mazishi.
8
6:15-6:30
Kisomo cha kinamama
Kinamama
9
6:30 – 7:30
Mwili kuwasili msikitini na swala ya kuswalia maiti
Kamati ya mazishi na wahusika wa msikiti
10
7:30……
Mazishi
Shekhe na watu wote.
11
 Shukrani za mazishi na mwisho.
Familia na viongozi wa dini

Imetolewa na kamati ya mazishi.
Ahsanteni kwa ushirikiano


Related

VIFO 653270955386813245

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item