RATIBA YA MAZISHI YA MSIBA WA NDG JUMA SAID KILOWOKO ( SAJUKI) TAREHE 04/01/2013.

No
MUDA
TUKIO
MHUSIKA
1
1:00-……..
Waombolezaji kuwasili nyumbani kwa marehemu
Kamati yya mapokezi na Itifaki
2
2:00-2:45
Kisomo cha wanaume
Wanafamilia
3
2:45-3:30
Mwili wa marehemu kuwasili nyumbani
Kamati ya mazishi na familia.
4
3:30- 5:00
Salamu za pole kutoka kwa viongozi, ndg na jamaa
Kamati ya Itifaki
5
5:00- 6:00
Sadaka ya chakula
Wote
6
6:00-6:15
Nasaha toka kwa viongozi wa dini
Mashekhe
7
6:15
Mwili kuondoka nyumbani kuelekea msikitini
Kamati ya itifaki, usafiri na mazishi.
8
6:15-6:30
Kisomo cha kinamama
Kinamama
9
6:30 – 7:30
Mwili kuwasili msikitini na swala ya kuswalia maiti
Kamati ya mazishi na wahusika wa msikiti
10
7:30……
Mazishi
Shekhe na watu wote.
11
 Shukrani za mazishi na mwisho.
Familia na viongozi wa dini

Imetolewa na kamati ya mazishi.
Ahsanteni kwa ushirikiano


Related

VIFO 653270955386813245

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in weekRecentBLOG ZINGINE

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item