Tanzania na Japani watiliana saini ya ujenzi wa Barabara za juu eneo la Tazara Dar es Salaam


 Hivi ndivyo eneo la Tazara, makutano ya Barabara ya Mandela na Nyerere litakavyonekana pindi ujenzi utakapokamilika


Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa na Balozi wa Japan nchini, Masaki Okada wakibadilisha mikataba ya miradi mitatu iliyosainiwa jana yenye thamani ya Sh Bilioni 28 itakayotolewa na nchi hiyo kwa ajili ya ujenzi wa Barabara za juu eneo la Tazara Dar es Salaam, upanuzi wa Barabara ya Kilwa na fedha kwa ajili ya uendelezaji wa Kilimo kwanza
Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa na Balozi wa Japan nchini, Masaki Okada wakitiliana saini ya mikataba ya miradi mitatu  yenye thamani ya Sh Bilioni 28 itakayotolewa na nchi hiyo kwa ajili ya ujenzi wa Barabara za juu eneo la Tazara Dar es Salaam, upanuzi wa Barabara ya Kilwa na fedha kwa ajili ya uendelezaji wa Kilimo kwanza

Related

TZ 129449393564408051

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item