DK.SLAA ALAANI YALIYOTOKEA BUNGENI

Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr.Willbrod Slaa amefanya mkutano na Waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam ambapo amesema
1. CHADEMA Inalaani uonevu na uvunjwaji wa Kanuni unaofanywa na kiti cha Spika
2. Hoja zote za CHADEMA zilizokataliwa Bungeni zitapelekwa kwenye mahakama kubwa kuliko zote nayo ni MAHAKAMA YA UMMA
3. Hakuna Mbunge yoyote wa CHADEMA akayeenda kuhojiwa na kamati Uongozi ya maadili ya Bunge mpaka hapo rufaa zote zaidi ya 10 za Wabunge wa CHADEMA dhidi ya maamuzi ya kiti cha Spika zitakapojibiwa
4. Ni aibu kwamba Bunge la sasa halina rejesta ya maamuzi ya Spika kama ilivyo kwa Mabunge mengine ya Jumuiya ya Madola hali inayomfanya Spika na Naibu wake kujiamulia mambo kienyeji tu bila kufuata Kanuni za Bunge na bila kuweka rekodi ya maamuzi yao kwenye hoja mbalimbali.
5. CHADEMA haitakubali dhuluma wala uonevu wowote mwaka huu kwani mwaka huu ni mwaka wa NGUVU YA UMMA

kwa taarifa zaidi angalia video hii hapa chini

Related

ZITTO AMPA ZA USO LEMA, JUU YA POSHO ZA VIKAO BUNGENI

Zitto katika Facebook wall yake "Kuchukua au kutochukua posho za vikao kama mbunge ni suala la misingi (principles) na sio suala la uwezo kifedha. Kuna wabunge matajiri sana lakini wakachukua posho na...

UCHAGUZI WA NDANI YA CHADEMA KUNA NINI? : NAULIZA TU

Nauliza tu jamani! 1. Hivi uchaguzi wa Ndani wa Chama kinachojieleza mbele ya umma kuwa kinajali Demokrasia na Maendeleo umeshafanyika? Kama ndio nani aliibuka Mshindi kwenye Kinyang'anyiro cha Uenyek...

WENJE NDANI YA KASHFA NZITO YA UFISADI WA MAMILIONI YA FEDHA YA MIRADI YA JIJI LA MWANZA.

TAARIFA KWA UMMA WA WANA MWANZA,WATANZANIA NA VYOMBO VYA USIMAMIZI WA SHERIA JUU YA UFISADI WA KUTISHA NA UBADHILIFU WA FEDHA ZA UMMA KATIKA MIRADI YA UJENZI WA JENGO LA KLINIKI YA MAMA NA MTOTO UTEMI...

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in weekRecentBLOG ZINGINE

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item