NIGERIA WACHUKUA UBINGWA WA AFCON 2013


Obi akimpongeza Sunday Mba

NIGERIA imetwaa ubingwa wa Afrika usiku huu, baada ya kuifunga Burkina Faso bao 1-0 katika fainali kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa FNB(Soccer City), Johannesburg, Afrika Kusini.
Shujaa wa Nigeria usiku wa leo alikuwa ni Sunday Mba aliyefunga bao hilo pekee la ushindi dakika ya 40, baada ya kutokea purukushani kwenye lango la Burkina Faso'
Hilo linakuwa taji la tatu la Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Nigeria kihistoria, baada ya awali kutwaa taji hilo mwaka 1980 na 1994.
Zaidi ya hapo, Nigeria walishika nafasi ya tatu mwaka 2002, 2004, 2006  na 2010.

Related

AFCON 2613024876739656119

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item