FACEBOOK CHATTING ----------------1


MWANDISHI: NYEMO CHILONGANI.

MAHALI: DAR ES SALAAM.

SIMU: 0718 069 269



MSICHANA: Mambo Nyemo.
MIMI: Poa. Mzima?
MSICHANA: Mzima wa afya. Unafanya nini?
MIMI: Nachati na friends pamoja na kuangalia muvi kwa kuibia.
MSICHANA: Hata mimi nachati pia. Muvi gani hiyo unayoangalia kwa kuibia?
MIMI: Message in the Bottle.
MSICHANA: Mmmh!
MIMI: Mbona mguno tena?
MSICHANA: Hiyo muvi mpya?
MIMI: hapana. Toka mwaka 1999.
MSICHANA: Na mimi nataka nije kuangalia. Nakaribishwa?
MIMI: Duh! Poa. Karibu.
MSICHANA: Hahahaha! Inaelekea u kijana mcheshi sana.
MIMI: Kitu gani kimekufanya kuhisi hivyo?
MSICHANA: Basi tu. Nimejirubuni kusema hivyo.
MIMI: Yeah! Hivyo ndivyo nilivyo.
MSICHANA: Unaishi wapi?
MIMI: Tanzania.
MSICHANA: Yeah! Najua. Ila sehemu gani?
MIMI: Dar es Salaam.
MSICHANA: Nafahamu. Ila Dar es Salaam kubwa sana.
MIMI: Naishi Tandale. Unapajua?
MSICHANA: Huwa ninapita tu na gari mara chache chache.
MIMI: Okey. Thats gud then.
ENDELEA KUSOMA HADITHI HII HAPA>>>>>>>>>>>>>>

Related

TOUCHING STORY 6252711549386817109

Post a Comment

2 comments

Anonymous said...

hapo chacha patamu mapenz ya facebook,napenda kujua itakuwa saa ngap hyo part 2 mr meshack

Anonymous said...

ni mimi chico wa chico,napongeza cna stry nzur nina subr hyo no 2

ads by blogger

Follow Us

Hot in weekRecentBLOG ZINGINE

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item