HUU NDIO MWILI UNAODAIWA KUWA WA DEREVA WA BAJAJI ALIYEUWAWA NA WANAJESHI KAWE.



MWILI WA MAREHEMU YOHANA MDA MCHACHE BAADA YA KUUAWA NA WANAJESHI WA JWTZ.




 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela.

Askari anayedaiwa ni wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)  anadaiwa kuua dereva wa bajaj kwa kutumia bunduki katika maeneo ya Kawe Shoko, jijini Dar es Salaam.

Tukio la kuuawa kwa kijana huyo jana jioni inadaiwa lilitokana na  kutokea  mabishano kati yake na mwanajeshi huyo wakati ikipita eneo ambalo raia hawaruhusiwi kupita.

Vurugu kubwa zilitokea katika eneo hilo baada ya kutio hilo huku vijana wenzake marehemu kukusanyika kuhoji sababu za kuawa kwa mwenzao.

Mashuhuda walisema kuwa baada ya askari kuho kumpiga risasi kijana huyo na kumuua, mwili wake ulichukuliwa na gari la kubebea wagonjwa na kukimbizwa katika Hospitali ya Jeshi ya Lugalo. 

SOURCE AUDIFACE BLOG

Related

MAUAJI 8466016954639025039

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item