BODABODA FC YAIBAMIZA MAPEA FC: MAGUGU

Katika michuano ya kumtafuta Bingwa wa kombe la Mbuzi hapa Magugu Manyara, leo kumeshuhudiwa kimbembe kati ya Bodaboda Fc na Mapea. Katika mtanange huo, Mshambuliaji machachali kutoka Bodaboda Fc, Yona a.k.a Bonge aliifungia timu yake magoli mawili na kuipa point Tatu muhimu. Hadi sasa Bonge ndio ni kinara wa magoli kwa kupachika magoli matano mpaka sasa. Bodaboda ilishinda goli 2-0. Michuano hiyo itaendelea kesho.

Mwenye jezi nyekundu ndio BONGE

Related

SOCCER 6854342700281083726

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item