DAR INADEKEZWA: ZITTO KABWE

Naibu katibu Mkuu wa Chadema na Mbunge Wa Kigoma Zitto Zuberi Kabwe amesema Jiji la Dar linadekezwa kwa kutengewa Bajeti kubwa ikidhaniwa ndio inachangia 80% ya pato la taifa. Kwa mujibu wa tweete zake, Zitto anaona Dar inapendelewa kupewa 60% ya bajeti

"@zittokabwe: “@awafat: @zittokabwe which is the highest contributor to this regional GDP?” Dar 18% followed by Mwanza 10% and Mbeya 8%. Dar isn't 80%!"

Related

Tanzania Daima: Zitto ahusishwa kifungo cha MwanaHalisi

WAKATI wadau wa tasnia ya habari wakihoji ubabe uliotumiwa na serikali kulifungia gazeti la wiki la MwanaHalisi kwa madai ya uchochezi, Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Mael...

ZITTO; UBUNGE SASA BASIIII

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amesema kutokana na kuliongoza jimbo hilo kwa vipindi viwili mfululizo, sasa ametangaza rasmi kutowania nafasi hiyo tena katika Uchaguzi Mkuu wa ...

Zitto chupuchupu kutimuliwa CHADEMA! *Hoja ya kumng’oa yajadiliwa Baraza Kuu CHADEMA >> MMOJA APINGA KWENYE JAMII FORUM

KWA mara ya pili mfululizo, katika kipindi kisichozidi miezi sita, jitihada za siri za kujaribu kumng’oa kutoka ndani ya CHADEMA, Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Naibu Katibu Mkuu wa chama hich...

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in weekRecentBLOG ZINGINE

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item