DAR INADEKEZWA: ZITTO KABWE

Naibu katibu Mkuu wa Chadema na Mbunge Wa Kigoma Zitto Zuberi Kabwe amesema Jiji la Dar linadekezwa kwa kutengewa Bajeti kubwa ikidhaniwa ndio inachangia 80% ya pato la taifa. Kwa mujibu wa tweete zake, Zitto anaona Dar inapendelewa kupewa 60% ya bajeti

"@zittokabwe: “@awafat: @zittokabwe which is the highest contributor to this regional GDP?” Dar 18% followed by Mwanza 10% and Mbeya 8%. Dar isn't 80%!"

Related

ZITTO::: LISSU WEWE NI KIFARANGA TU NAMTAKA MAMA WA KIFARANGA,

Baada ya kauli ya Kamati kuu ya Chadema kutoa tamko lao leo, Zitto Zuber Kabwe amemuonya Lissu kuingilia kitu asuchokijua. Haya hapa chini ndio kauli ya Zitto kwa Lissu ************************** Liss...

ZITTO AMPA ZA USO LEMA, JUU YA POSHO ZA VIKAO BUNGENI

Zitto katika Facebook wall yake "Kuchukua au kutochukua posho za vikao kama mbunge ni suala la misingi (principles) na sio suala la uwezo kifedha. Kuna wabunge matajiri sana lakini wakachukua posho na...

ZITO AMSIFIA KIKWETE

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), amesema Rais Jakaya Kikwete ni mtu wa ajabu na kueleza kuwa kama si uvumilivu wake nchi ingekuwa katika machafuko makubwa. Zitto ametoa kauli hiyo ju...

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in weekRecentBLOG ZINGINE

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item