BREAKING NEWZZ:: MBUNGE WA CHALINZE (CCM) AFARIKI DUNIA

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba; Mbunge wa Chalinze (CCM) Mh. Said Bwanamdogo amefariki Dunia leo asubuhi katika Taasisi ya Mifupa MOI, alikokuwa
amelazwa baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Ofisi inaendelea na utaratibu wa Mazishi.

Related

VIFO 5829862721270896135

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item