LADY JAY DEE NA MUMEWE GADNER G HABASH WAMALIZA SALAMA SAFARI YA KUTANGAZA UTALII WA NDANI MLIMA WA KILIMANJARO

Mhifadhi mkuu wa mlima Kilimanjaro Erastus Lufungulo akimuongoza msanii Lady Jay Dee mara baada ya kushuka kutoka mlima Kilimanjaro,shoto mwa Jay dee ni mpiga picha wa JayDee,Bw Justine.






Na Dixon Busagaga .

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Judith Wambura maarufu kwa
jina la Lady Jay Dee, jana alifanikiwa kukamilisha ziara yake ya siku
sita ya kupanda mlima Kilimanjaro, ikiwa na lengo la kutangaza mlima
huo na kujionea upekee wa kivutio hicho.

Katika ziara hiyo iliyodhaminiwa na shirika la hifadhi za taifa nchini
(TANAPA), msanii huyo aliyeambatana na mumewe ambaye ndiye anesimamia
kazi zake, Gadna Habash, waliwasili kwenye lango kuu la Marangu saa 12
jioni na kupokelewa na mhifadhi mkuu wa hifadhi ya mlima Kilimanjaro
(KINAPA), Erastus Lufungulo.

Msafara wa Jay Dee ulianza safari ya kupanda mlima Kilimanjaro Januari
8 na kufanikiwa kufika katika kilele chake chenye urefu wa mita 5895
kutoka usawa wa bahari.

Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari mara baada ya
kushuka mlimani, Jay Dee, alisema ziara hiyo imetoa mafunzo makubwa
kwao na wakatoa wito kwa wasanii, waandishi wa habari na watangazaji
nchini, kutembelea vivutio hivyo ili kufahamu yale wanayozungumza
kuhusu hifadhi hizo.

“Ziara hii imenipa mwanga kama msanii, nimejifunza mengi na
niwakumbushe tu wasanii wenzangu kuchukulia zoezi la kupanda la
kupanda mlima Kilimanjaro kama moja ya majukumu na wajibu wao kama
wananchi wa taifa hili,” alisema Jide.

Kwa upande wake mhifadhi wa KINAPA Lufungulo ametoa rai kwa wadau wote
hasa wananchi wa kawaida kushiriki kupanda mlima huo, kwa lengo la
kukuza utalii wa ndani.
Mhifadhi mkuu (KINAPA)Erastus Lufungulo akimkabidhi cheti cha
uthibitisho wa kufika kileleni msanii Lady Jay Dee.

Mhifadhi mkuu (KINAPA)Erastus Lufungulo akimkabidhi Gadner Habash
cheti cha uthibitisho wa kufika kileleni Gadner G Habash .
Add caption

Related

UTALII 5781319386754109632

Post a Comment

7 comments

Anonymous said...

Hеllo there! Τhis post соuldn't be written much better! Reading through this post reminds me of my previous roommate! He constantly kept preaching about this. I'll forωаrd this article to him.
Pretty suге he will have a very gοod reаd.
Thanκs fοr ѕharing!
Stop by my webpage iphonefix kl

Anonymous said...

Hello еvеryboԁy, here еveгy ρerson iѕ shaгing such fаmiliагity, thus it's nice to read this blog, and I used to visit this weblog daily.

My web page ... iphonefix

Anonymous said...

I'm not sure where you're gettіng your infο,
but good toρic. I needs to spenԁ some time learning moгe or
understanding more. Thanks for gгeat info I was looking for thіѕ infο for my missiοn.


Feel fгee to visit my website :: iphone repair kl

Anonymous said...

It is the best time to mаκe a few ρlanѕ foг thе
long run and іt is timе to be haрpy.

I've learn this submit and if I may just I want to recommend you some fascinating things or advice. Perhaps you could write next articles referring to this article. I wish to learn more things approximately it!

Feel free to visit my blog: macbookrepairkl.newsvine.com

Anonymous said...

Amazіng! This blog lоokѕ just like my old one!
Ιt's on a completely different subject but it has pretty much the same layout and design. Outstanding choice of colors!

My page ... macbook repair malaysia

Anonymous said...

Remarκable! Its truly гemаrkable post,
I have got much сlear idea concerning from this pοst.


My web blog ... iphonerprcheras.livejournal.com

Anonymous said...

What's up, the whole thing is going fine here and ofcourse every one is sharing data, that's іn fact excеllent, κeep
up wrіtіng.

my wеb site: Iphone repair selangor

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item