FACEBOOK CHATTING------- 4


MWANDISHI: NYEMO CHILONGANI.

MAHALI: DAR ES SALAAM.

SIMU: 0718 069 269




MSICHANA: Tayari.
MIMI: Safi sana. Itegeshe mike ya Hearphone yako karibu na mdomo. Ipe mikono yako uhuru. Wakati mwingine, unaweza kufumba macho. Itulize akili yako kabisa, achana na kufikiri mambo mengine. Isikilize sauti yangu kwa makini, nitakwenda kuongea maneno mengi, yanayotakiwa kufanya na wewe, fanya kama nitakavyokwambia. Hakikisha umelala chali. Umesikia mpenzi.
MSICHANA: (Huku sauti yake ikianza kubadilika na kuwa ya chini) Sawa.
MIMI: Tunakwenda kuanza mchezo huu. Mchezo huu utaanzia mwilini mwako, nitakwenda kuitembelea kila sehemu yako ya mwili. Kumbuka kwamba mikono yako ndio mimi kwa sasa. Hakuna maswali, tulia na niache nifanye kazi yangu.
MSICHANA: Sawa mpenzi.
MIMI: Tunakwenda kuanza mchezo wetu. Tunaanzia kifuani kushuka chini.
MSICHANA; Sawa.

Kuanzia hapo, mchezo ulivyochezwa hautoweza kuelezwa sana kwa sababu ya matumizi ya facebook kutumiwa hadi na watoto walio chini ya miaka 18. Usiulize maswali wala usibishe. Kuna watoto wengi huku mtaani kwetu ambao ni marafiki zangu na wote wanaisoma post hii. Sitoelezea sana mchezo huu kwani sitotaka kuiharibu saikolojia yao, ufahamu nilio nao kwenye mchezo huu acha ubaki kuwa wangu tu, sitaki kuibiwa maujuzi kabisa. Kila mtu anatakiwa kuucheza mchezo huu kwa kutumia ujuzi wake na si kuiba ujuzi kutoka kwangu kwani unaweza kumuua hata binti wa watu na kuniletea matatizo.

NB: Watoto wengi, sehemu hiyo inakatishwa kidogo na wala haitoelezewa kwa kina.


Mchezo uliendelea zaidi na zaidi, kila wakati nilikuwa namsikia akipumua kwa nguvu huku akilalamikalalamika. Bado nilikuwa nikiendelea kama kawaida. Dakika kumi zikapita, niliendelea kuongea nae, dakika ishirini zikapita, nusu saa na hadi saa moja, bado alikuwa akilalamikalalamika tu.

MSICHANA: Stooooooooooopppppp (Aliitoa sauti yake kimahaba)
MIMI: Nini tena?
MSICHANA: Stooooooopppp mpenzi. Aaaaggggghhhhh! Naomba nipumzike.
MIMI: Mbona unaomba kupumzika tena na wakati bado masaa kama matatu hivi?
MSICHANA: Utaniua. Nimeshindwa kujizuia mpenzi.
MIMI: Poleeeee
MSICHANA: Asante. Ngoja nikaoge kwanza.
MIMI: Vipi tena?
MSICHANA: Umenichafua.
MIMI: Hahahaha! Nimekuchafua au umejichafua?
ENDELEA KUSOMA HADITHI HII HAPA>>>>>>>>

Related

HADITHI 8978198058853042691

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item