RIWAYA: MREMBO ALIYEPOTEA-------------------------2

MTUNZI: Andrew Carlos

MAWASILIANO: 0713133633

SEHEMU YA PILI

...
Ndani ya mwezi Maisha ya Alice yalikuwa yameanza kubadilika kwa kiasi kikubwa ikiwa ni pamoja nakupungua mwili. Kutokumuona mama yake takribani miezi tangu baba yake ampige na kuni na kisha kutoroka mara ya mwisho ni kati ya mawazo yaliokuwa yakimtawala sana Alice. Tayari ilikuwa kama tabia kwa baba Alice kufanya mapenzi na Alice. Baba alice akamchukulia Alice kama mke wake badala ya mtoto. Japokuwa wakati mwingine alikuwa akitumia nguvu mpaka kufanya mapenzi na Alice. Kadri siku zilivyokuwa zikienda na hali ya Alice ikaanza kubadilika na kudhohofika. Ule mtaji aliokuwa nao wa samaki ukapukutika wote kutokana na baba yake kuchukuwa zile pesa kinguvu. Kila baba Alice akiondoka asubuhi kurudi kwake ni usiku na lazima ahakikishe ametukana nyumba yote ndipo aingie ndani na hata akifika ndani asipokutana na chakula basi Alice atapigwa na vile vile kufanya naye mapenzi kinguvu. Akili ya Alice ikawa ni kutafuta ni jinsi gani ataweza kujinasua katika tatizo la njaa yeye na baba yake.
Kuna kipindi Alice alikuwa akikata tamaa kabisa kimaisha kwanza kutokana na elimu yake ndogo aliyoishia ya darasa la saba, ambayo aliona ni vigumu kwa yeye kupata kazi. Kuvaa kwake ilikuwa ni mabaki ya kanga ambayo mama yake alikuwa akiyatumia pindi alipokuwa akipika samaki. Moyo wa Alice ulikuwa tayari ni mkakamavu kwa mateso na manyanyaso ambayo alikuwa akikutana nayo kila kukicha kutoka kwa baba yake.
ENDELEA KUSOMA HADITHI HII HAPA>>>>>>>>>>>>>>>>>>>

Related

HADITHI 7948664577293751830

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item