PICHA YA WIKI::: TUNA MWANGAZIA NELSON MANDELA NA MANENO YA BUSARA ALIYOWAHI KUYANENA JUU YA KIFO CHAKE

Bernard kamilius Membe, leo tarehe 16,07,2020 amewahutubia wanachama wa ACT WAZALENDO, amelitangazia taifa kuwa yeye ni Rasmi ni mwanachama wa ACT WAZALENDO. akiwahutubia wanachama wa ACT na kuwap...
KLABU ya Manchester United imezipiku Bayern Munich na Real Madrid na kurejea kileleni katika orodha ya klabu zenye thamani kubwa kwenye ulimwengu wa soka, kwa kufikisha utajiri wa dola za Kimarekani ...
Wiki hii Raisi wa zamani na mkombozi wa Afrika Kusini Nelson Mandela alifariki Dunia na kuacha simanzi kubwa kwa wafrika. Mungu ailaze Roho yake Pema peponi. Anen
Leo tunakuwekea picha yake pamoja na maneno yake aliyowahi kusema juu ya kifo kwa mtu aliyeipigania nchi yake.
Mpiganaji na mkombozi wa South Afrika Nelson Mandela, amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua muda mrefu. Kiongozi huyo amefariki akiwa na Miaka 95. Daima kwa mawazo ma uimara wake, tutamuenzi ...
Post a Comment