MANCHESTER UNITED YAIUA YEOVIL TOWN, DI MARIA NA HERRERA WAKING'ARA

MAN UNITED jana iling'ara mbele ya wenyeji wao YEOVIL baada ya kuwalaza wenyeji hao magoli 2-0 yaliowekwa kimiani na Ader Herrera na Di Maria ambaye alitokea benchi. Baada ya mechi kocha wa Manchester United alisema kuwa alitegemea ugumu wa mechi hiyo maana kila timu nchiniUingereza inatamani kuifunga United. Kapteni wa Yeovil alisema anafurahi kucheza na timu ambayo wazazi wakena yeye mwenyewe ni shabiki wakubwa wa Man United.
 Ander Herrea akishangilia goli
 Herrera akipata maelekezo ya Kocha
 Di Maria akishangilia goli

Related

Sports 2877108991394205307

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item