MANCHESTER UNITED YAIUA YEOVIL TOWN, DI MARIA NA HERRERA WAKING'ARA

https://menacotz.blogspot.com/2015/01/manchester-united-yaiua-yeovil-town-di.html
MAN UNITED jana iling'ara mbele ya wenyeji wao YEOVIL baada ya kuwalaza wenyeji hao magoli 2-0 yaliowekwa kimiani na Ader Herrera na Di Maria ambaye alitokea benchi. Baada ya mechi kocha wa Manchester United alisema kuwa alitegemea ugumu wa mechi hiyo maana kila timu nchiniUingereza inatamani kuifunga United. Kapteni wa Yeovil alisema anafurahi kucheza na timu ambayo wazazi wakena yeye mwenyewe ni shabiki wakubwa wa Man United.
Herrera akipata maelekezo ya Kocha

Ander Herrea akishangilia goli


Di Maria akishangilia goli

Post a Comment