MANCHESTER UNITED YAIUA YEOVIL TOWN, DI MARIA NA HERRERA WAKING'ARA

MAN UNITED jana iling'ara mbele ya wenyeji wao YEOVIL baada ya kuwalaza wenyeji hao magoli 2-0 yaliowekwa kimiani na Ader Herrera na Di Maria ambaye alitokea benchi. Baada ya mechi kocha wa Manchester United alisema kuwa alitegemea ugumu wa mechi hiyo maana kila timu nchiniUingereza inatamani kuifunga United. Kapteni wa Yeovil alisema anafurahi kucheza na timu ambayo wazazi wakena yeye mwenyewe ni shabiki wakubwa wa Man United.
 Ander Herrea akishangilia goli
 Herrera akipata maelekezo ya Kocha
 Di Maria akishangilia goli

Related

MAN UNITED ITARUDI KILELENI DECEMBER: JICHO LA TATU

MAN UTD WAPO NAFASI WA 9 ILA  WATURUDI KILELENI KWA HAYA YAKITOKEA. Ni ukweli usiopingika kuwa, mwaka huu hatupo vizuri. Lakini naamini hadi mwezi wa 12 kuna timu itashuka na sisi tutapanda. Kitu...

UNANIDANGANYA WENGER :- JOEL CHUKU VERMINATOR

Mti Bila Mzizi Utakua Vipi Miaka Nane Bila Kombe Na vile Tulivyokua Tunajiongopea Wenyewe Kila Siku...... Tulikua na Tony Adams wetu, Martin Keawon wetu na Ray Palour wetu... Mwisho mwisho tukawa na S...

ADNAN JANUZAJI NI HABARI YA MUJINI, AIBEBA MAN UTD, AIU SUNDERLAND, APIGA MBILI PEKEE YAKE, STAILI YA UCHEZAJI YAWAKOSHA WENGI

Chipukizi wa Manchester United, Adnan Januzaj amekuwa habari ya mujini kutokana na Kiwango chake usiku wa leo, Adnan ameifungia timu yake ya Manchester United mabao mawili yaliyotosha kuipa point tatu...

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in weekRecentBLOG ZINGINE

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item