TORRES AREJEA NYUMBANI ATLETICO MADRID

Mshambuliaji Fernando Torres amerejea rasmi leo kwenye klabu yake ya zamni ya Atletico Madrid ya nchini Hispania,Torres aliondoka miaka saba iliyopita kwa kujiunga na Liverpool ya England.
”Nimefurahi sana kurejea klabu yenye nafasi kwenye maisha yangu,niliondoka kwenye klabu hii kwenda kukuza kiwango changu,nafurahi kurejea tena Atletico ikiwa sasa inashindana na vilabu vikubwa ulimwenguni,nimerejea kushinda na mataji na klabu hii niipendayo”.
Hayo yalikuwa maneno ya Torres leo hii wakati akizungumza na waandishi wa habari wakati wa utambulisho wake uliohudhuliwa na mashabiki zaidi ya 45,000 kwenye dimba la Vicente Calde


ron

Related

Sports 1408489057112880916

Post a Comment

ads by blogger

Follow Us

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

item