News

MEMBE AJIUNGA ACT WAZALENDO; AWATAKA VYAMA VYA UPINZANI KUUNGANA KWENYE UCHAGUZI

Bernard kamilius Membe, leo tarehe 16,07,2020 amewahutubia wanachama wa ACT WAZALENDO, amelitangazia taifa kuwa yeye ni Rasmi ni mwanachama wa ACT WAZALENDO. akiwahutubia wanachama wa ACT na kuwap...

IBRAHIMOVIC ATUA RASMI MAN UNITED

Nyota wa soka dunia Ibra Cadabra leo ameijulisha rasmi dunia kuwa anaelekea MAN UNITED. amethibitisha kauli hii kwenye ukurasa wake wa Instagram SOMA HABARI KAMILI >>>>>>>>>>>>>>>

MAN UNITED WARUDI MATAWI YA JUU, SASA NDIYO KLABU 'TAJIRI' ZAIDI DUNIANI

KLABU ya Manchester United imezipiku Bayern Munich na Real Madrid na kurejea kileleni katika orodha ya klabu zenye thamani kubwa kwenye ulimwengu wa soka, kwa kufikisha utajiri wa dola za Kimarekani ...

EDUCATION

WALIMU WALALA JIKONI -IGUNGA

Walimu walala jikoni kwa miaka mitatu! KATIKA hali ya kusikitisha, walimu wa Shule ya Msingi Iyogelo iliyoko katika kata ya Kining’inila Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, wamekuwa wakiishi jikoni ...

KONGAMANO LA LUGHA LAFANYIKA CHUO KIKUU CHA MT. AUGUSTINO TAWI LA TABORA

MGENI RASMI: DR. OCHIENG ORWENJO (KENYATA UNIVERSITY-KENYA) Kongamano la kielimu linalohusu matunizi ya lugha hususani hapa Tanzania linafanyika muda huu hapa chuoni na mada ambazo tayari zimewasilish...

SEMINAR YA UJASIRIAMALI YAENDELEA CHUO KIKUU CHA SAUT TABORA

SAUT TABORA  Semina ya ujasiriamali ambayo ilianza toka jana hapa Tabora leo yafikia siku ya pili na mwisho, wanafunzi wengi wa chuo hiki wamejitokeza kuhudhuria seminar hii muhimu kwa vijana amb...

SIMULIZI

SIMULIZI YA KWELI::: KAMA UNAMACHOZI YA KARIBU USISOME..!! SIMULIZI YA KWELI YA KUSISIMUA NA KUSIKITISHA YA MTOTO JANETH..!!

Kengele ya kutoka darasani iligongwa, wanafunzi wa shule ya msingi wakaanza kutoka madarasani huku wakifukuzana wengine wakipiga kelele ilimradi shwangwe tu. Ilikuwa mara yangu ya kwanza kufundisha s...

FACEBOOK CHATTING============== 5

 MWANDISHI: NYEMO CHILONGANI. MAHALI: DAR ES SALAAM. SIMU: 0718 069 269 MSICHANA: Ndio najiandaa mpenzi. Unataka nivae mavazi gani? MIMI: Vyovyote tu. Ila sipendelei kukuo...

RIWAYA: PAINFUL TRUTH (UKWELI WENYE KUUMA)----------3

  MTUNZI: Nyemo Chilongani MAWASILIANO: 0718 06 92 69 SEHEMU YA TATU “Nitachagua wa kumuoa hapo baadae. Ila hata Happy nae anafaa sana. Mmh! Wazazi watanielewa vipi kama nikim...

SIASA

MWANANCHI; CCM, CUF WALIANZISHA DAR

Dar es Salaam.  Utata mpya umeibuka kuhusu matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa baada ya wagombea watatu waliotangazwa washindi kuwekwa kando ikidaiwa kuwa badala yake walioshindwa walia...

KAMA HUJUI::: HIZI NDIO SIRI ZA MACHALI, KAFULILA NA MKOSAMALI KUIHAMA CHADEMA

Wakati mambo yakizidi kuenda mrama ndani ya CHADEMA, Mh. Moses Machali [ mb] ameibuka na kutangaza hadharani siri za kuihama CDM na baadhi ya watu maarufu waliokihama chama hicho. *******************...

BREAKING NEWZ: MWENYEKITI CHADEMA MKOA LINDI MJUMBE BARAZA KUU TAIFA KATIBU OFISI YA KATIBU MKUU- SEKRETARIETI AJIUDHURU CHADEMA.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI YA NDUGU ALLY O. CHITANDA NDG: WANA HABARI: Kwanza kabisa ninawashukuru kwa kuitika wito wangu. Jina langu naitwa ALLY OMARY CHITANDA, nimejiunga CHADEMA mwaka 2003 nikit...

ZITTO AMPA ZA USO LEMA, JUU YA POSHO ZA VIKAO BUNGENI

Zitto katika Facebook wall yake "Kuchukua au kutochukua posho za vikao kama mbunge ni suala la misingi (principles) na sio suala la uwezo kifedha. Kuna wabunge matajiri sana lakini wakachukua posho na...

WENJE NDANI YA KASHFA NZITO YA UFISADI WA MAMILIONI YA FEDHA YA MIRADI YA JIJI LA MWANZA.

TAARIFA KWA UMMA WA WANA MWANZA,WATANZANIA NA VYOMBO VYA USIMAMIZI WA SHERIA JUU YA UFISADI WA KUTISHA NA UBADHILIFU WA FEDHA ZA UMMA KATIKA MIRADI YA UJENZI WA JENGO LA KLINIKI YA MAMA NA MTOTO UTEMI...

MAGAZETI

TETESI ZA USAJILI NA MAGAZETI YA ULAYA

DAILY MIRROR Chelsea have been told they do have hope of signing Manchester United striker Wayne Rooney - if manager David Moyes can find a replacement for the England international. Arsenal have turn...

NDONDOO ZA USAJILI KWENYE MAGAZETI YA ULAYA

Manchester United manager David Moyes has a week to decide whether to sign Marouane Fellaini - THE SUN Manchester United landing Cesc Fabregas is set to trigger the sale of Wayne Rooney to Chelsea...

HIZI NDIO STORY 20 ZA USAJILI & MICHEZO KUTOKA KWENYE MAGAZETI YA ULAYW

1. Gonzalo Higuaín has agreed personal terms with Arsenal of around £130k/week ahead of a £22million move. (Telegraph) 2. John Obi Mikel confirms he's agreed to join Galatasaray & w...

MAGAZETI YA LEO APRIL 9 2013

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . SOMA HABARI KAMILI >>>>>>>>>>>>>>>

CELEBRITIES

ZITTO KABWE: MANENO YA NEY WA MITEGO NI SANAA

BAADA YA SALAM ZAO YA NEY WA MITEGO..!! Rita Paulsen aka Madam Rita wa Bongo Star Search na Walter Chilambo tayari wameshazijibu Salamu za Ney wa Mitego na jana ilikuwa zamu ya Mbunge wa Kigoma Kaska...

LADY GAGA ATISHA KWA MKWANJA DUNIANI KWA WASANII WALIO CHINI YA UMRI WA MIAKA 30

Kwa mujibu wa gazeti la Forbes, Lady Gaga ndio msanii mwenye mkwanja mrefu zaidi kushinda wasanii wote walio chini ya umri wa miaka 30, pamoja na msanii huyo kufanyiwa upasuaji wa paja lakini bado ame...

DIMPOZ AWAOMBA RADHI MASHABIKI NA WATANZANIA KWA KUMKASHIFU MAREHEM NGWAIR

Kupitia Account ya Facebook msanii wa bongo fleva na mshindi wa tuzo tatu za Kili Tanzania Music Awards 2013 Ommy Dimpozi amewaomba watanzania wote ambao walikerwa na kuchukizwa na maneno yake juu ya ...

SIR ALEX FERGUSON ATANGAZA KUSTAAFU UKOCHA

Kocha wa Manchester United ametangaza leo kuwa ameachia ngazi na mrithi wake kutangazwa muda si mrefu Wengi wanaopigiwa upatu ni pamoja na Mourinho, David  Moyes wa Everton na Kloop wa Dortmund. ...

MICHEZO

MATUKIO

MIN BUZZ YATUA BABATI, KUKAA SIKU TATU

Crew ya Min Buzz inayoongozwa na Kijo na Bi Kiroboti toka Jana Jumatatu imetua mkoani Manyara hususani Babati Mjini. Akizungumza na MeNaco.com ndugu KIJO ambaye pia ndio mwendesha kipindi cha Mini Buz...

YUSUPH BAKHRESA AKUTWA NA GARI YA MMILIKI WA MANCHESTER CITY

Gari aina ya Brabus ambayo inayomilikiwa na mmiliki wa klabu ya Manchester City ya England, imeonekana leo Dar es Salaam, lakini ni mali ya Yussuf Bakhresa, mtoto wa bilionea Mtanzania, Alhaj Sheikh S...

AJALI MBAYA YA GARI YATOKEO DAR

AJALI hii imetokea leo maeneo ya Sinza-Mori jijini Dar es Salaam baada ya dereva wa gari aina ya Toyota Mark II lenye namba za usajili T382 APA anayedaiwa kuwa alikuwa amelewa kuacha njia na kutumbuki...

UVCCM SAUT TABORA KUFANYA MAHAFALI YAO TAREHE 17/10/2013

Shirikisho la wanachama wa Chama cha Mapinduzi ( UVCCM SAUT TABORA)  limeandaa mahafali yao ya kuwapongeza wanachama wenzao wanaohitimu masomo yao ya shahada ya kwanza chuo hapo. Akizungumza na M...

DIAMOND ATOA DARASA KWA WAISLAM

Mwanamziki nyota wa bongo fleva nchini Diamond platnumz leo ametoa darasa kwa vijana wa kiislamu juu ya upakaji rangi nywele. Diamond alitoa ushauri huo kupitia account yake ya Instagram. " diamondpla...

DIAMOND FT KOFFI ~ WAAA DANCE (KIDEGEMBYE SECONDARY SCHOOL)

MEMBE AJIUNGA ACT WAZALENDO; AWATAKA VYAMA VYA UPINZANI KUUNGANA KWENYE UCHAGUZI

Bernard kamilius Membe, leo tarehe 16,07,2020 amewahutubia wanachama wa ACT WAZALENDO, amelitangazia taifa kuwa yeye ni Rasmi ni mwanach...

IBRAHIMOVIC ATUA RASMI MAN UNITED

Nyota wa soka dunia Ibra Cadabra leo ameijulisha rasmi dunia kuwa anaelekea MAN UNITED. amethibitisha kauli hii kwenye ukurasa wake wa Insta...

MAN UNITED WARUDI MATAWI YA JUU, SASA NDIYO KLABU 'TAJIRI' ZAIDI DUNIANI

KLABU ya Manchester United imezipiku Bayern Munich na Real Madrid na kurejea kileleni katika orodha ya klabu zenye thamani kubwa kwenye uli...

RONALDO AENDELEA KUNG'ARA ULAYA, ROBBEN, ROONEY, BALE BADO WAMO

Cristiano Ronaldo raia wa Ureno amekuwa mchezaji anayeuzika zaidi kwa wale wanaotokea barani Ulaya. Ronaldo amewapiku wachezaji wengin...

MUCOBA WATWAAUBINGWA WA MUNGANO CU[P MUFINDI

>YAICHAPA DODOMA ACADEMY 2-0 >WAWEKA KIBINDONI MILIONI 5 MUCOBA FC iliyo chini ya benki ya wananchi wa Mufindi (Mufindi Community B...

HABARI NJEMA WADAU WETU

Sasa unaweza kuangalia blog yetu kupitia application ya moja kwa moja ambayo utaiweka katika simu yako BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD Usisahau...

YANGA, KCCA NA AZAM FC OUT MAPINDUZI

Vilabu vya Yanga KCCA ya Uganda na Azam zimeondolewa kwenye michuano ya mapinduzi cup inayoendelea visiwani Zanzibar katika Uwanja wa Amani....

MAFUTA YAZIDI KUPOROMOKA BEI

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza kushuka kwa bei za aina zote za mafuta za jumla na rejareja zitakazoan...

MWANASHERIA MKUU AAHIDI KUANZA NA MIKATABA TATA

Dar es Salaam.  Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju amesema ataanza kuipitia mikataba yote inayodaiwa kuwa na utata ili awe...

ads by blogger

Follow Us

Hot in weekRecentBLOG ZINGINE

Hot in week

BLOG ZINGINE

BLOG OWNER

BLOG OWNER
MESHACK JACKSON

Side Ads

Instagram

JOIN US ON TWITTER

Text Widget

Millard Ayo – Official Website

index